Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Posho ya mbunge yatumika kujenga zahanati 8

Alhamisi , 16th Feb , 2017

Posho ya vikao ya mbunge wa Singida Magharibi Mh. Elibariki Kingu, imetumika kuanzisha ujenzi wa zahanati nane katika jimbo hilo, ikiwa ni njia ya kutekeleza uamuzi wake wa kutochukua posho hizo, na badala yake akitaka ziwatumikie wananchi.

Mbunge Elibariki Kingu akiwa na wananchi wa jimboni kwake

Mbunge huyo amebainisha hilo mapema wiki hii alipokuwa kweye kipindi cha East Africa Breakfast, ambapo pamoja na mambo mengine alitakiwa kueleza endapo anajua matumizi ya mgao wake wa posho za vikao vya Bunge, kwa kuwa wakati Bunge la 11 likianza, alikuwa ni mmoja kati ya wabunge waliotangaza kukataa kuchukua posho hizo.

Katika majibu yake Kingu alibainisha ilishindikana kuacha kuchukua posho hizo kwa kuwa, kwa mujibu wa utaratibu wa Bunge, ni lazima asaini kuzichukua, lakini akaamua kuwa yeye binafs asitumie hata shilingi, na badala yake zikatatue kero ya zahanati jimboni kwake.

Vyumba vya madarasa katika jimbo hilo

Mbali na zahanati, Kingu amesema pia kuwa kwa kutumia posho hiyo, ameweza kuanzisha shule mpya za msingi katika maeneo mbalimbali ikiwemo Winduwindu kata ya mwaru, Mtakuja kata ya Mwaru, Mtakuja kata ya Mtunduru, Mwankalaja kata ya Mgungira, Mfumbuwahumba kata ya Ighombwe kata Minyughe na Kinyarimi kata Minyughe.

Msikilize hapa akitaja matumizi ya posho yake........

 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja