Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi Pwani wamsaka anayeuza nyama za wizi 

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Jeshi la Polisi mkoani Pwani, linamsaka mfanyabiashara wa nyama ambaye jina lake limehifadhiwa kwa tuhuma za kuchinja mifugo ya wizi na kuuza kwenye mabucha yake kitu ambacho amesema si salama kwa walaji.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa

Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa, amesema kuwa jeshi hilo lilipokea taarifa za kupotea kwa mifugo ambayo ni ng'ombe 25 na mbuzi 31, mali ya Rajabu Maulid, yenye thamani ya zaidi ya shilingi milion 50 hali iliyopelekea jeshi lake kuanza msako wa kuwatafuta wahusika wa tukio hilo.

Aidha, Kamanda Nyigesa amesema msako wa Polisi umebaini mabucha saba katika maeneo ya picha ya Ndege, Kwamatiasi, Loliondo, Kilivya Kwakomba na bucha zote hizo zinadaiwa kumilikiwa na mfanyabiashara huyo.

Kamanda Nyigesa ameongeza kuwa vitu vilivyokamatwa katika msako huo ni kilo 235 za nyama iliyokamatwa na kuteketezwa na wataalamu wa Idara ya mifugo, pamoa na ng'ombe wanne mali ya Rajabu Maulid ambao aliwatambua huku vitu vingine vilivyokamatwa ni ngozi za ng' ombe nane na mbuzi 24 ambapo zote ni mali za Rajabu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa