Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyongeza ya mshahara yaongeza ari ya watumishi

Jumatano , 3rd Aug , 2022

Baada ya serikali kutangaza kuongeza mshahara kwa 23% kwa kima cha chini, watumishi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, wamesema kwamba nyongeza hiyo imewaongezea ari ya kufanya kazi kwa bidii.

Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

Watumishi hao wa wilaya ya Temeke wameviambia vyombo vya habari kuwa nyongeza ya mshahara kwa kima cha chini, kuondolewa kwa penati ya bodi ya mikopo vimeongeza ari ya kufanya kazi kwa bidii na kwamba wanaopotosha hawana nia nzuri na Taifa.

"Tunasikitishwa na wanaopotosha kwamba nyongeza ya mshahara kwa kima cha chini ni uongo, sisi watumishi tunamshukuru sana Rais Samia kwa jitihada anazozifanya kutuwekea mazingira mazuri ya kazi, nyongeza ya mshahara imetufaa sana, tumependelewa sana na serikali hii na tumehamasika kuchapa kazi," amesema makungu Shomari, mmoja wa watumishi Temeke.

Katika hatua nyingine, watumishi hao wamesema kwamba mzigo wa kufanya kazi umezidi kupungua kwakuwa serikali imeajiri watumishi wapya.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja