Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nitakuwa mfariji wenu"- Lissu

Jumatatu , 21st Sep , 2020

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amewaahidi wanachi wa Ngara  kuwa mfariji wao na kuwatendea haki kwani anafahamu maana ya kufarijiwa.

Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu.

Lissu ametoa ahadi hiyo leo septemba 21, wakati akizungumza na wananchi wa Ngara  ambapo amesema kutokana na misaada aliyopata kipindi cha matibabu yake anafahamu maana halisi yakuwa mfariji kwa watu.

"Ninafahamu maana yakutokutendewa haki hivyo nitawatendeeni haki, nafahamu maana yakufarijiwa unapokuwa na shida kwa sasbabu nimepata faraja kubwa nimetibiwa kwa misaada yenu kwa hiyo nitakua mfariji wenu” amesema Tundu Lissu.

Tundu Lissu ameongeza "Kwenye uchaguzi mkuu huu ni fursa yetu,tupate rais anayefahamu kwamba wajibu wa kwanza wa rais ni kuwa mfariji mkuu watu wanapopata shida, panapokuwa na kilio unaenda kuhani kilio penye shida unenda kutoa faraja sio unapeleka kejeli”.

Lissu leo anafanya kampeni zake katika mkoa ya Geita na Kagera.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani