Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEC yaijibu ACT Wazalendo kuhusu chaguzi ndogo

Ijumaa , 13th Jan , 2017

Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania imevitaka vyama vya siasa vilivyo simamisha wagombea katika maeneo yenye uchaguzi mdogo wa Ubunge na udiwani kuzingatia taratibu na kutumia haki yao ya kuwasilisha malalamiko ya ukiukwaji wa maadili.

Kailima Ramadhani

Imesema vyma hivyo vinapaswa kuwasilisha malalamiko yao kwenye ngazi husika kabla ya masaa 74 ili malalamiko yoa yashugulikiwe kwa wakati.

Akizungumza na vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam, kuhusiana na malalamiko yaliyotolewa na chama cha ACT Wazalendo hapo jana, Mkurugenzi wa Uchaguzi Bwana Ramadhani Kailima amesema bado chama hicho kina nafasi ya kuwasilisha malalamiko yao katika ngazi zote hadi pale watakapoona wameridhishwa na hatua zilizochukuliwa.

Aidha, Bwana Kailima amewataka wananchi kutompatia mtu yeyote kadi yake ya kupiga kura isipokuwa kuionyesha katika kituo cha kupiga kura siku ya kupiga kura na kuwaonya wale wote wanaomiliki kadi ya mpiga kura isiyokuwa yake kinyume cha sheria.

Mbali na suala hilo Bwana Kailima amewataka wagombea wa vyama vya siasa kufanya kampeni za kistaarabu na kuzingatia sheria, kanuni na maadili ya uchaguzi.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu