Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEC yaijibu ACT Wazalendo kuhusu chaguzi ndogo

Ijumaa , 13th Jan , 2017

Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania imevitaka vyama vya siasa vilivyo simamisha wagombea katika maeneo yenye uchaguzi mdogo wa Ubunge na udiwani kuzingatia taratibu na kutumia haki yao ya kuwasilisha malalamiko ya ukiukwaji wa maadili.

Kailima Ramadhani

Imesema vyma hivyo vinapaswa kuwasilisha malalamiko yao kwenye ngazi husika kabla ya masaa 74 ili malalamiko yoa yashugulikiwe kwa wakati.

Akizungumza na vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam, kuhusiana na malalamiko yaliyotolewa na chama cha ACT Wazalendo hapo jana, Mkurugenzi wa Uchaguzi Bwana Ramadhani Kailima amesema bado chama hicho kina nafasi ya kuwasilisha malalamiko yao katika ngazi zote hadi pale watakapoona wameridhishwa na hatua zilizochukuliwa.

Aidha, Bwana Kailima amewataka wananchi kutompatia mtu yeyote kadi yake ya kupiga kura isipokuwa kuionyesha katika kituo cha kupiga kura siku ya kupiga kura na kuwaonya wale wote wanaomiliki kadi ya mpiga kura isiyokuwa yake kinyume cha sheria.

Mbali na suala hilo Bwana Kailima amewataka wagombea wa vyama vya siasa kufanya kampeni za kistaarabu na kuzingatia sheria, kanuni na maadili ya uchaguzi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa