Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai amkumbuka Lissu kwa hili

Ijumaa , 7th Mei , 2021

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesema kuwa licha ya aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki kupitia CHADEMA Tundu Lissu, kukaa Bungeni kwa muda wa miaka 10 lakini hakuwahi hata kutengeneza chanzo cha maji kijijini kwake Mahambe.

Kushoto ni Spika wa Bunge Job Ndugai, na kulia ni aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki kupitia CHADEMA

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 7, 2021, Bungeni Dodoma, mara baada ya mbunge wa jimbo hilo la Singida Mashariki Miraji Mtaturu, kuomba kupelekewa maji wilayani Ikungi, kwani wananchi wake wanakunywa maji ya kwenye madimbwi pamoja na Ng'ombe.

"Katika mchango wa Mh. Mtaturu ametaja vijiji kadhaa ambavyo havina maji, katika vijiji hivyo amateja kijiji kimoja kinaitwa Mahambe hicho kijiji ndicho anachotoka Mh Lissu amekuwa mbunge miaka 10 kijiji chake mwenyewe hata chanzo cha maji hakuna", amesema Spika Ndugai.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa