Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee wa miaka 50 abaka Mwanza

Ijumaa , 24th Mar , 2023

Mwanaume mmoja mwenye umri zaidi ya miaka 50 aliyejulikana kwa jina la Hakimu Juma, mkazi wa  Chamwenda kata ya Nyansaka wilayani Ilemela jijini Mwanza amejikuta matatani baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kumbaka binti wa miaka saba mtoto wa jirani yake.

Inadaiwa kwamba mzee  huyo amekuwa na tabia ya kuwashika makalio pamoja na sehemu za siri mabinti wa mtaa huo hadi alipofikia hatua ya kumuingilia kimwili binti huyo wa miaka saba anayesoma darasa la pili

Mama mzazi wa binti aliyebakwa aaaakaeleza namna alivyogundua tukio hilo la binti yake kuingiliwa na baba huyo.

‘nilikuwa namwambia sasa wewe unaumwa hujasema umepatwa na nini, sasa nikawa  namuangalia nikaona suruali aliyokuwa amevaa ipo magotini na chupi pia imevuliwa nikamgeuza wakati namgeuza nikaona michirizi kalowa nikauliza wewe umepata UTI niliponusa mashuka nikasikia harufu ya maji ya kiume"

Kufuatia tukio hilo EATV ikazungumza na balozi wa serikali ya mtaa huo wa Chamwenda Hassan Ngiziki na kusema mara baada ya mtuhumiwa huyo kufanya tukio hilo walibaini kuwa amekuwa na tabia ya kushika makalio na sehemu za siri baadhi ya mabinti wa mtaa huo ndipo akawasiliana na vyombo vya dola na kumkabidhi kwa ajili ya hatua nyingine za kisheria
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa