Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwizi maarufu wa pikipiki akamatwa Katavi

Alhamisi , 11th Aug , 2022

Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mtuhumiwa maarufu wa wizi wa pikipiki anayefahamika kwa jina la Laurenti Lazaro (61) Mkazi wa  Kanoge Wilaya ya Mpanda akiwa ameiba  pikipiki tano za watu tofauti tofauti

Kamanda wa Polisi Katavi Ali Hamad Makame, amesema kabla ya kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi  waliandaa msako mkali  wa kupambana na uhalifu  na waliweza kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo  akiwa na pikipiki ya wizi yenye Namba za usajiri   MC  915 CDV   aina ya  HONLG yenye rangi nyekundu.

Kamanda  Makame amesema  baada ya mtuhumiwa huyo kukamatwa  na kufanyiwa mahojiano  ya kina  amekiri kuwa aliiba pikipiki  nyingine nne  kwenye maeneo tofauti tofauti ya Mkoa wa Katavi  na aliweza kwenda kuzionesha pikipiki hizo.

Makame ameeleza kuwa mtuhumiwa  huyo alikuwa akiiba kwa kutumia mbinu ya kutembea na funguo  bandia ambazo  ndizo alikuwa  akizitumia  kuibia pikipiki zinazokuwa zimepakiwa  kwenye maeneo mbalimbali  na wamiliki wa pikipiki hizo.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea