Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwelekeo wa vijana wasomi hauleti matumaini - EAC

Ijumaa , 5th Dec , 2014

Asilimia kubwa ya vijana wasomi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatumia muda mwingi kutumia mitandao ya mawasiliano kwa mambo yasiyo na tija jambo linaloanza kuleta hofu ya kundi hilo kushindwa kusaidia kuleta ufumbuzi wa matatizo.

Asilimia kubwa ya vijana wasomi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatumia muda mwingi kutumia mitandao ya mawasiliano kwa mambo yasiyo na tija jambo linaloanza kuleta hofu ya kundi hilo kushindwa kusaidia kuleta ufumbuzi wa matatizo mbalimbali yanayozikabili nchi.

Akizungumza baada ya kukutana na vijana kutoka taasisi mbalimbali za nchi zote wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katibu mkuu wa jumuiya hiyo Dr. Richard Sezbera amesema inasikitisha kuona vijana wengi wanatumia fursa hiyo kwa mambo ambayo hayawasaidii wao wenyewe wakati yapo matatizo mengi ambayo wangeweza kusaidia.

Akizufungua kongamano la vijana hao linalofanyika Arusha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya habari Prf Elisante Olle Gabrilel amesema kuna haja ya nchi wanachama kufanya kazi ziada ya kuwasaidia vijana kujitambua na kujua nafasi na fursa walizonazo kujiwezesha wao wenyewe na nchi zao.

Nao baadhi ya vijana wamesema tatizo kubwa lipo katika mifumo isiyo rafiki jambo ambalo lisiporekebieshwa matatizo yanayolalamikiwa sasa yataendelea kuwepo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa