Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanaume aliyebadili jinsia anyonyesha mtoto

Jumapili , 18th Feb , 2018

Mwanaume mmoja ambaye alijibadilisha jinsia na kuwa mwanamke nchini Marekani, ameweza kunyonyesha mtoto kwa maziwa yake, na kuweka rekodi ya mtu kuwahi kufanya hivyo duniani. Kwa mujibu wa watafiti.

Mwanamke huyo kwa sasa mwenye umri wa miaka 30 aliamua kufanya hivyo baada ya mpenzi wake kukataa kunyonyesha mtoto waliyekuwa wakitarajia kumpata.

Mtu huyo ambaye sasa ni mwanamke aliweza kufanya hivyo baada ya kutumia dawa na mashine ya ku-'pump' maziwa, huku watafiti wakisema matokeo ya tukio hilo yanaweza yakasababisha watu wengi waliobadili jinsia kutaka kufanya hivyo.

Taarifa zinasema kwamba mwanamke huyo alikuwa akipata tiba ya kubadilishiwa homoni kwa muda wa miaka 6, na hakuwahi kufanya upasuaji wa kubadili jinsia wakati amewafuata madaktarai kuwaelezea mpango wake wa kutaka kunyonyesha.

Kabla mtoto huyo hajazaliwa madaktari walimpa mafunzo maalum ya tiba kkumsaidia kutengeneza maziwa feki, ambayo mara nyingi hupewa kina mama ambao wameasili mtoto au wamepata mtoto kwa njia ya 'Surrogate', ikiwemo kupump maziwa, kuwekewa homoni za mama asili wa mtoto, na dawa amabzo zinasisimua uzalishaji wa maziwa na kuzuia homoni za kiume

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa