
Inaelezwa kuwa muuaji amekiri kosa na chanzo kikielezwa ni kugombea nafasi ya uongozi
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na mtuhumiwa tayari amekamatwa na kukiri kutekeleza tukio hilo huku chanzo kikihusishwa kugombea nafasi ya uongozi