Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mvua yasababisha maafa, yaharibu taasisi tano

Jumatano , 22nd Feb , 2017

Mvua iliyoambatana na upepo wa kimbunga, umesababisha majanga kwa wakazi wa kijiji cha Mtera wilayani Mpwapwa mkoa wa Dodoma, baada ya nyumba 93 na taasisi tano kuharibiwa zikiwamo shule mbili na kanisa.

Picha: Maktaba

Akizungumza kwa njia ya simu leo akiwa njiani kuelekea sehemu ya tukio, Mkuu wa wilaya hiyo, Jabir Shekimweri, amesema mvua hiyo iliyonyesha juzi mchana katika kijiji cha Mtera, ilisababisha maafa hayo kwa wakazi wa kijiji hicho.

“Ni kweli mvua imesababisha madhara katika kijiji hicho kwa kuezua nyumba 93 yakiwamo majengo mawili ya taasisi za serikali, makanisa matatu na kujeruhiwa na watu watatu,” amesema Shekimweri.

Shekimweri amesema katika nyumba hizo zilizoharibiwa na kimbunga hicho, 40 zimeezuliwa kabisa, 41 zimeezuliwa nusu ya nyumba huku nyumba 12 zikiwa zimeondolewa kati ya bati mbili na tano.

Jabir Shekimweri - DC Mtera

Amesema kati ya watu watatu waliojeruhiwa kutokana na athari hiyo na kukimbizwa hospitalini, wawili waliruhusiwa baada ya kufanyiwa matibabu na mmoja bado anaendelea kutibiwa kutokana na kuvunjika mguu.

Sehemu mbalimbali ya mkoa wa Dodoma, mvua iliyodumu kwa saa nne ilinyesha jana kuanzia saa 3:30 asubuhi hadi saa 8 mchana, hivyo kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa