Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtulia arejea tena Bungeni

Jumapili , 18th Feb , 2018

Msimamizi wa uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Kinondoni ambaye ni Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Aron Kagurumjuli amemtangaza Maulid Mtulia kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa nafasi hiyo.

Kwa mjibu wa Kagurumjuli wakati anatangaza matokeo amesema Maulid Mtulia (CCM) amepata jumla ya kura 30,247 akimshinda mpinzani wake wa karibu Salum Mwalimu (CHADEMA) aliyepata kura 12,355.

Uchaguzi huo ulifanyika jana Februari 17 kwa zoezi la kupiga kura ambalo lilimalizika jioni na shughuli ya kuhesabu kura kuanza ambapo baada ya kukamilika asubuhi hii msimamizi ametangaza matokeo.

Aidha uchaguzi huo umefanyika kufuatia aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Maulid Mtulia aliyechaguliwa 2015 kupitia chama cha Wananchi CUF kwa mwamvuli wa UKAWA kujiuzulu nafasi hiyo na kuhamia CCM.

Mtulia ameungana na Godwin Mollel kuwa wabunge wapya ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye naye ameibuka mshindi kwenye uchaguzi mdogo Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani