Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema mtoto Eric amefariki wakati anapatiwa matibabu katika hospital ya Bwanga baada ya kujipiga risasi kwa silaha aina ya Pistol Beretta inayomilikiwa na baba yake kwenye paji la uso na kutokea kisogoni akiwa ndani ya chumba cha baba yake mzazi aitwaye Joshua Mkandi.
Tazama Video hapo chini