Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara (kulia) akifanya mahojiano na Mwandishi wa East Africa TV Dotto Kadoshi.
Pia ameeleza kuwa leo msafara wa watu 140 utaanza kupanda Mlima Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru.
Tazama Video hapo chini