Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mikoa yote yatakiwa kuwa na huduma ya methadone

Jumanne , 21st Feb , 2017

Serikali imeagiza hospitali zote za mikoa nchini zianzishe kliniki maalum ya kutoa huduma za matibabu ya watumiaji wa dawa za kulevya kwa kutumia methadone, ndani ya miezi sita.

Dkt Kigwangalla katika ziara yake, Mwananyamala

 

Agizo hilo limetolewa na Naibu wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla alipotembelea kituo cha kuwahudumia watu wanaotibiwa kuacha dawa za kulevya kwa kutumia methadone kilichopo Hospitali ya Mwananyamala na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya kuhakikisha kuwa kuna Daktari Bingwa wa Afya ya Akili kwenye kila mkoa ili kuanzisha na kusimamia vituo hivyo.

Dkt. Kigwangalla amesema kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu wanaohitaji huduma hiyo kwa siku za hivi karibuni kutokana na kuongezeka kwa udhibiti wa dawa za kulevya, huku kukiwapo kwa taarifa kwamba wauzaji wa dawa za kulevya wameathiriwa kwa kupoteza mapato ya shilingi bilioni 70.

Pamoja na mambo mengine Dkt. Kigwangalla amekemea baadhi ya viongozi wanaopotosha jamii kuhusu dawa hizo methadone.

Kwa upande wake muangalizi wa kituo hicho Dkt. Kasian Ndindindi amesema uwepo wa kituo hicho cha Mwananyamala kwa sasa umesaidia kuwahudumia waathirika wa dawa za kulevya 3,351.

Nao baadhi ya watu wanaopatiwa huduma katika kituo hicho wamesema tangu waanze kutumia dawa hizo wamekuwa na unafuu mkubwa

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea