Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mikoa inayoongoza kwa ngono za utotoni yatajwa

Jumamosi , 11th Sep , 2021

Mratibu wa Programu ya Ongea na Vijana kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini (TACAIDS) Dkt. Pendo Saro, amesema kuwa utafiti walioufanya unaonesha kwamba mkoa wa Dodoma unaongoza kwa mabinti kufanya ngono wakiwa na umri mdogo.

Mratibu wa Programu ya Ongea na Vijana kutoka Tume ya Kudhibiti uUkimwi nchini (TACAIDS) Dkt. Pendo Saro.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 11, 2021, jijini Dodoma, wakati wa uzinduzi wa programu ya Ongea Radio, kipindi ambacho kinachorushwa na East Africa Radio kila Jumamosi kuanzia saa 6:00- 6:30 mchana, chenye lengo la kutoa elimu kwa vijana walio katika umri wa balehe kubadili tabia zao na namna ya kujiepusha na maambukizi ya Ukimwi.

"Katika utafiti tuliofanya tumebaini mkoa wa Dodoma unaongoza kwa mabinti kufanya ngono wakiwa na umri mdogo, ukifuatiwa na mkoa wa Tabora," ameeleza Dkt. Pendo

Aidha Dkt. Pendo akaongeza kuwa, "Mkoa wa Iringa na Njombe, ndiyo mikoa ambayo mabinti wake wanauelewa wa kutosha kuhusu ngono wakiwa na umri mdogo".

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea