Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgombea adai kuwarudisha vijijini wale wanaozurura

Jumanne , 29th Sep , 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia Makini Cecilia Mmanga, amesema iwapo Watanzania watampa ridhaa ya kuwaongoza, atahakikisha vijana wote wanaozurula mjini bila kazi, wanapelekwa kijijini na kila mmoja anapewa hekari moja ya shamba ili ajikite kwenye shughuli ya kilimo.

Mgombea urais kupitia chama cha Demokrasia Makini, Cesilia Mmanga.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na EATV, na kuongeza kuwa Taifa la Tanzania lina vijana wengi hivyo ni lazima nguvu kazi iliyokuwa ikitumika wakati wa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere inarudishwa katika kilimo.

Taifa letu lina vijana wengi, na kila kijana tutamkatia heka moja kwa sababu vijana wengi tunaona wako mjini wanazurula bila kazi maalumu, lakini tukipata ridhaa ya kuingia madarakani hawa vijana wote wasiokuwa na kazi tutawapeleka vijijini na kuwapa mashamba ili wafanyie shughuli za kilimo,” alisema Cecilia.

Aidha, Cecilia ameongeza kuwa wote watakaozalisha malighafi, serikali yake haitowapangia bei bali itawapa uhuru wa kila mmoja kuwa na bei yake ya mazao kwa kuwa wakulima ndiyo wanaojua jinsi wanavyohangaika.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea