
IST
Hayo yamebainishwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro Alex Mkama, na kusema watuhumiwa hao walikamatwa Desemba 28, 2023, baada ya kupewa taarifa na mteja huyo aliyetapeliwa huku wakikutwa na gari aina ya IST ambayo wanaitumia katika shughuli zao za kutapeli watu.
Kwa ujumla wake jeshi hilo linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kutenda makosa mawili tofauti, likiwemo la kuwakamata watu wanne waliokuwa wanatengeneza pombe kali aina ya Smart Gin.