Meli iliyotoketea kwa moto
Meli hiyo ilikuwa safarini kuelekea katika kisiwa cha utalii cha Tidung.
Waokoaji bado wanaendelea kuwatafuta watu 17 ambao hawajulikani walipo.
usafiri wa majini unategemewa sana nchini Indonesia taifa lililo na visiwa zaidi ya elfu 17.








