Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama na watoto wake wawili wafariki kwa moto

Jumatano , 30th Nov , 2022

Mama na watoto wake wawili  katika Mtaa wa Igomelo Kata ya Malunga Halmashauri ya Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamepoteza maisha baada ya nyumba waliyokuwa wanaishi kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo majira ya saa 11 alfajiri.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama Festo Kiswaga amesema chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, huku akithibitisha kutokea vifo vya watu watatu wakiwemo wanafunzi wawili wa shule ya msingi St. Anthony wa Padua.

Nyumba iliyoteketea kwa moto inamilikiwa na Mathayo Samson mkazi wa Igomelo Kahama huku waliopoteza maisha kwenye tukio hilo ni Dotto Juma (33) ambaye ni mama wa familia, Samson Mathayo (13) mwanafunzi wa darasa la sita na Joseph Samson mwenye umri wa miaka tisa mwanafunzi wa darasa la pili.

Matukio ya moto yamekuwa yakitokea mara kwa mara katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Shinyanga ambapo tukio hili ni la tano kutokea ndani ya mwezi mmoja na kusababisha vifo vya watu kadhaa pamoja na kuteketeza mali

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa