
Levis Mwailemale, enzi za uhai wake
Familia imeeleza kuwa kijana Levis Mwailemale alipotea katika mazingira ya kutatanisha Januari 9 mwaka huu, ambapo walianza jitihada za kumtafuta bila mafanikio hadi Septemba 18 walipokuta mabaki ya mwili wake.
Hata hivyo maziko ya mwili wa kijana huyo yalifanyika baada ya Jeshi la Polisi kukamilisha uchunguzi wake na kutoa kibali.