Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kikwazo kipya kwa Wafanyabiashara

Alhamisi , 17th Aug , 2017

Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyelle amepiga marufuku wafanyabiashara wanaojishughulisha na uingizaji wa kemikali bila kibali nchini kuacha haraka kwani wanaleta changamoto na usumbufu wa usajili na hatimaye kusababisha uhakiki usio sahihi.

Akizungumza leo na wanahabari Mkemia Mkuu amesema kuanzia leo tarehe 17/8/2017 hakuna atakayeruhusiwa kujihusisha na tenda za kemikali kama hana hati ya usajili na kwamba imegundulika wafanyabiashara wengi huingiza kemikali nchini na ndipo kuomba kibali kitu ambacho ni kinyume cha sheria.

"Sheria inataka kila atakayehitaji kuingiza kemikali nchini lazima awe na hati ya usajili na kibali cha kuruhusiwa kuingiza" Mkemia Mkuu alisema

Pamoja na hayo Mkemia Mkuu ametoa ufafanuzi kuhusu maelekezo yanayotakiwa kuwekwa kwenye vifungashio vya kemikali vinavyotoka nje ya nchi.

"Kisheria Lebo inayotakiwa iwekwe kwenye kemikali toka nje iandikwe kwa lugha moja Kiswahili ama Kiingereza na siyo vinginevyo. Hakuna mzigo utakaoruhusiwa kuingizwa nchini kama maelekezo hayapo kwenye lugha hizo mbili" aliongeza

Mbali na hayo Mkemia ameziambia kampuni zote ambazo hazina usajili hazitaruhusiwa kuingiza kutumia kampuni zenye usajili.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa