Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 4, 2022, Ikulu ya Dar es Salaam, wakati akipokea taarifa ya utekezaji wa matumizi ya fedha za Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko- 19 Ikulu Dar es Salaam.
"Mtu mmoja aliniambia, atakayekusumbua kwenye kazi yako na uongozi wako, ni shati ya kijani mwenzio na sio mpinzani, mpinzani atakutazama unafanya nini, ukimaliza hoja zao hawana maneno, anayetazama mbele 2025 na 2030 huyu ndiyo atakayekusumbua na ndicho kinachotokea, " amesema Rais Samia.
Tazama video hapa chini