Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kichanga chafariki baada ya mama kukosa huduma

Jumatano , 17th Apr , 2024

Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Mikiness Chisunga (39) amepoteza kichanga wake baada ya kujifungulia nyumbani kutokana na Zahanati ya kijiji cha  Namwangwa wilayani Mbozi mkoani Songwe kukosa muhudumu wa afya.

Mikiness Chisunga akiwa kwenye maumivu makali baada ya kufiwa na kichanga wake

Akiwa nyumbani kwake mwanamke huyo ameshindwa kuelezea tukio hilo baada kudai anakabiliwa na maumivu makali yanayotokana na kukosa huduma yoyote ya kimatibabu

Baba wa familia hiyo Bw. Enock Kaminyoge amesema kuwa  tukio hilo limetokea wakati akifanya jitihada za  kumpeleka mke wake katika Zahanati ya  kijiji jirani.

Kwa upande wake Kaimu Mwenyekiti wa kijiji hicho Bw. Shida Mwampashi amesema kuwa wananchi wanaokadiriwa kufikia 800 wakiwemo wa  vijiji jirani wanakosa huduma za afya kwa sasa kutokana na Zahanati kufungwa kwa kukosa muhudumu.

EATV inaendelea kufanya jitihada za kumtafuta Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mbozi ili kuelezea utatuzi wa changamoto hiyo. 
 

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu