Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kama mimi nakukera tafuta mwingine" - IGP Sirro

Jumatano , 25th Mei , 2022

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema miongoni mwa matukio machache yanayowasumbua ni mauaji yanayotokana na hasira pamoja na wivu wa mapenzi na kusisitiza watu kama wamechokana ni heri wakaachana kuliko mmoja wao kumtoa uhai mwenzake.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro

Kauli hiyo ameitoa akiwa Katumba Halmashauri ya wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi, wakati akizungumza na wananchi wa eneo hilo na kuwaomba viongozi wa dini kuendelea kutoa elimu kwa waumini wao ili kuweza kuepusha mauaji yakiwemo yale yanayotokana na ushirikina.

"Matukio machache ambayo yanatupa shida kidogo ni haya mauaji ambayo yanatokana na hasira, mwenzako kwa shida yake kaiba kuku na sheria zipo matokeo yake anapigwa kwa hasira wanamuua," amesema IGP Sirro 

Aidha IGP Sirro akaongeza tena "Mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi mke na mume wamekubaliana kutengeneza familia wanakuwa na ugomvi wa kawaida, baba anachukua hasira anaua mke, kama umemchoka mke au mume si mnaachana tu vizuri, na bahati nzuri kwa Afrika wanawake ni wengi kuliko wanaume kama umeona mimi nakukera niache tafuta mwingine una sababu gani ya kuondoa maisha yangu,".

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji