Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hospitali yatajwa kuzuia akina mama na watoto

Ijumaa , 5th Feb , 2021

Mbunge wa jimbo la Tabora Mjini kupitia CCM, Emmanuel Mwakasaka, amehoji msimamo wa serikali kwa hospitali zinatowatoza fedha akina mama waliojifungua kwa njia ya kawaida na wanaoshindwa kulipa basi huzuiliwa kutoka hospitalini hapo.

Mbunge wa Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka

Mwakasaka ametoa kauli hiyo hii leo Februari 5, 2021, Bungeni Dodoma, kwenye kikao cha Nne, mkutano wa Pili wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku akiitaji hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete kuwa bado inaendelea kutoza fedha zinazoanzia kiasi cha shilingi 30,000 hadi shilingi 50,000 kwa akina mama hao.

"Hospitali ya Kitete Tabora bado inatoza fedha na ushahidi upo kwa akina mama waliojifungua kwa njia ya kawaida na wanaoshindwa kutoa hizo fedha huwa wanazuiliwa, je serikali ina msimamo gani kwa wale akina mama ambao huwa wanazuiliwa kutoka na watoto wao wachanga hadi walipe hizo fedha ambazo ni za kujifungulia?", amesema Mbunge Mwakasaka

Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa msimamo wa serikali ni kwamba waganga wakuu wa mikoa na wilaya wahakikishe wanasimamia sera ya akina mama wanaoifungua kwa njia ya kawaida na wanajifungua bure na kuahidi kwamba ataongozana na mbunge hadi kwenye hospitali hiyo ili wakapige mahesabu na kuja na ufumbuzi

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa