Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Half cake yampa kiwanja Kakobe

Alhamisi , 29th Sep , 2022

Kampeni ya Mama lishe wa thamani imefikia tamati kwa mkoa wa Dar es Salaam katika wilaya zake zote tano ambazo ni Kinondoni, Temeke, Kigamboni, Ubungo na Ilala, ambapo hii leo imempata mpishi hodari wa half cake ndani ya wilaya ya Ilala na kupatiwa zawadi ya kiwanja.

Veronica Kakobe kulia, akipatiwa zawadi kutoka Poa Supermarket baada ya kushinda

Awali katika shindano la kumsaka Mamalishe wa thamani lilianzia Temeke kumpata mkali wa chapati, kisha Kigamboni kumpata hodari wa kalmati, kindoni kumpata hodari wa maandazi, Ubungo kumpata hodari wa donati, na hatimaye hodari wa half cake Ilala nzima akapatikana.

Akizungumza mara baada ya kuibuka mshindi na kuzawadiwa zawadi ya kiwanja kutoka Mwendapole CO.LTD pamoja na zawadi mbalimbali ikiwemo sukari na mafuta, na kushukuru kwa nafasi hiyo huku akiwaomba wanawake wengine kujitokeza wanaposikia fursa za namna hiyo

Kwa upande wao baadhi ya wadhamini wa shindano hilo, wamjivunia kuwa sehemu ya shindano hilo, kwani wameyaona manufaa na umuhimu katika kuwainua na kuwaendeleza wanawake kiuchumi.

Shindano Mama Lishe wa thamani litaifikia mikoa mbalimbali nchini na je ungependa tuanze na mkoa gani baada ya Dar es Salaam?, tuandikie maoni yako ya mkoa unaotaka tuanze kupitia mitandao yetu ya kijamii ya East Africa Radio na utuambie ni kitafunwa gani kinapendwa kwenye huo mkoa.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa