Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Fatilieni uraia, kuna watu siyo wenzetu"-Polepole

Jumamosi , 17th Oct , 2020

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, (CCM), Hamphrey Polepole, amewaomba wapiga kura nchini kuwa wahakikishe wanafuatilia uraia wa baadhi ya wagombea katika uchaguzi mkuu ujao kwa madai ya kuwa wana nia ya kuleta vurugu na kuondoka.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Hamphrey Polepole.

Polepole ametoa kauli hiyo hii leo Oktoba 17, 2020, jijini Dar es Salaam, wakati wa mkutano wake wa kampeni na waandishi wa habari, ambapo pia ametoa tathmini ya kampeni zilizofanywa na chama hicho mpaka sasa.

"Yule mgombea wa chama cha Mbowe ameshawaambia kabisa watoto wake hawawezi kusoma shule za kata na video yake ipo, na niwaambieni kuna wagombea fuatilieni uraia wao kuna watu hapa siyo wenzetu, wametega tu walete vurugu kisanuke hapa halafu wao shaa!! wanakuwa wanatuangalia kwenye TV, mjomba hii haikubaliki sisi tumezaliwa na tutakufa hapa hapa", amesema Polepole.

Aidha Polepole ametoa tathmini juu ya mgombea Urais wa chama hicho, "Kabla ya kupiga kampeni CCM, ushindi wake haupungui asilimia 75 na kamati ya ushindi ya CCM, ilikuwa imejiwekea malengo yake kura za urais ni asilimia 90, unagundua ndugu Magufuli alianza ukanda mmoja, Samia Uganda mwingine, tukachukua makada waandamizi wa chama wakaenda upande mwingine".

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea