Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu kamati ya watu 14 ilivyofanikisha mapinduzi

Jumanne , 12th Jan , 2021

Katibu wa kwanza wa vijana wa Afro Shirazi, Baraka Shamte, amesema kuwa siku ya mapinduzi Rais wa Zanzibar wa wakati huo, Hayati Abeid Karume, aliondoka Zanzibar na kukimbilia Bara ikiwa ni tahadhari ya kuepuka kukamatwa endapo utawala wa wakoloni ungeshinda.

Katibu wa kwanza wa vijana wa Afro Shirazi, Baraka Shamte.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 12, 2021, kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, ikiwa leo Zanzibar inaadhimisha miaka 57 ya Mapinduzi, na kuongeza kuwa kamati ya mapinduzi iliongozwa na watu 14.

"Tarehe ile ya mapinduzi mchana wake Mzee Karume aliondoka Zanzibar akaja Bara kumfuata Nyerere na Kawawa, alisafiri kwa njia ya mtumbwi kukimbia yale mapinduzi, kwa tukahofia tukishindwa Mzee Karume anaweza akakamatwa, tukamshauri aje Bara, usiku ule alivyokuwepo huku Bara sisi tukafanya mapinduzi na ilivyofika Alfajiri tukawa tumeikamata nchi", amesimulia Mzee Shamte.

Aidha Mzee Shamte ameongeza kuwa, "Tulifanikisha mapinduzi baada ya kuundwa kamati maalum ya viongozi kwa kushirikiana na John Okero, huyu ni mwananchi mganda ambaye alihamia Zanzibar na kukaa kwa miaka mingi na hii kamati ndiyo iliyofanya mapinduzi".

Tazama video hapa chini

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea