Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dunia kujua namna nchi ilivyofanikiwa kwenye usawa

Jumanne , 12th Oct , 2021

Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima, anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Kongamano la tatu la Kimataifa la Wanawake litakalofanyika nchini Urusi kwa siku tatu kuanzia Oktoba 13 hadi 15, 2021. 

Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima,

Akiwa nchini Urusi, Dkt. Gwajima atashiriki katika ufunguzi wa kongamano hilo ambapo ataonesha namna Tanzania ilivyofanikiwa katika kuwa na usawa wa kijinsia, kuwainua wanawake kiuchumi na kutambua mchango wao katika maendeleo ya Taifa.

Dkt. Gwajima anashiriki katika kongamano hilo ikiwa ni mwelekeo na azma ya serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha uwepo wa usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika nyanja mbalimbali.

Aidha, lengo kuu la kongamano hilo ni kutambua mchango wa wanawake katika maendeleo ya Dunia, kuonesha mchango wa wanawake katika maendeleo na kuhakikisha kunakuwa na usawa wa kijinsia.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji