Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC Jokate akuta madudu TANESCO

Jumatano , 13th Jan , 2021

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za TANESCO wilayani humo na kukutana na malalamiko lukuki toka kwa wananchi waliofika katika ofisi hizo wakidai kucheleweshewa kuwekewa umeme majumbani mwao ikiwemo kero ya kukatika katika kwa umeme.

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo,

Majira ya saa tatu asubuhi DC Jokate, alifika katika ofisi za TANESCO wilaya na kukutana na wananchi waliofika mahala hapo wakisubiri huduma na kupata fursa ya kusikiliza kero ya wananchi hao, huku wengi wao wakilalamikia hasara wanayoipata pindi umeme unapokatika.

Mara baada ya kusikiliza malalamiko ya wananchi hao na kujiridhisha, DC Jokate, akaagiza kuswekwa rumande kwa baadhi ya watendaji wa idara hiyo huku akiutaka uongozi kuhakikisha inatatua kero inayowakabili wananchi haraka iwezekanavyo.

Kwa upande wa viongozi wa TANESCO licha ya kukiri kuwepo kwa changamoto hizo lakini wakaahidi kuanza kuyafanyia kazi mapungufu hayo mara moja.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri