
Kuongezeka kwa barabara hizo kutalifanya jiji la Dar kuwa na jumla ya fly-ova tisa, baada ya ujenzi wa nyingine mbili kufanyika katika makutano ya barabara ya Ubungo na Tazara.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, amesema serikali iko mbioni kujenga barabara za juu (fly-over) saba mojawapo ikitarajiwa kujengwa Mwenge, ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
Kuongezeka kwa barabara hizo kutalifanya jiji la Dar kuwa na jumla ya fly-ova tisa, baada ya ujenzi wa nyingine mbili kufanyika katika makutano ya barabara ya Ubungo na Tazara.