Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Dar es salaam kumejengwa kiholela'' - Waziri Jafo

Jumatano , 21st Aug , 2019

Idadi ya watu waishio mijini nchini Tanzania inatarajiwa kufikia milioni 45 ifikapo mwaka 2030, na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya 6 kwa ukuaji wa miji ulimwenguni,  huku Jiji la Dar es salaam, likikadiriwa kuwa na watu milioni 10 kabla ya mwaka 2035.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo

Utafiti huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji  wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dkt Tausi Kida leo Agosti 21,  wakati wa uzinduzi wa Utafiti huo na kuitaka Serikali kuwa na mipango mizuri ya miji.

''Miji mingi ya Tanzania inakua, wabobezi wa masuala ya watu na makazi mnaelewa kwamba changamoto inaweza kujitokeza pale Jiji linapopata hadhi na kuwa Jiji kubwa kwa kuangalia kasi hii ya ukuaji wa miji hapa nchini ni muhimu kwetu kama nchi kuwa na mipango mizuri ya miji''.

Kwa upande wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo,  ameipongeza Taasisi hiyo kwa kuja na utafiti huo, na kusema kwamba licha ya Dar es Salaam kutajwa kuwa na watu wengi lakini bado makazi yake yako kiholela.

''Leo hii ukitaka kuona ladha ya Dar es salaam, uwe unashuka na ndege halafu rubani afanye makusudi asikupitishe maeneo ya Mbezi, akupitishe maeneo ya Majohe, Vingunguti,  Mji uko hovyo, umejengwa kiholela, hatujafanya uchunguzi wa kuona namna ya miji yetu ilivyo holela na majanga mangapi tumeshindwa kuwaokoa wananchi wetu kwa kukosa mipango miji mizuri ya namna miji yetu ilivyojengwa'' amesema Waziri Jafo.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%