Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Changamoto zetu kama za Afrika Kusini - Majaliwa

Ijumaa , 16th Aug , 2019

Rais wa Afrika ya Kusini Cyril Ramaphosa leo Agosti 16, ametembelea eneo la Mazimbu mkoani Morogoro, eneo ambalo linaonesha uhusiano mkubwa wa kihistoria kati ya nchi za Tanzania na Afrika Kusini.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Eneo hilo ndilo lililotumika kuwekea mijadala ya kupinga vuguvugu la ubaguzi wa rangi  katika nchi ya Afrika Kusini.

Akizungumza katika sehemu ya hotuba yake, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mahusiano ya kihistoria kati ya Tanzania na Afrika ya Kusini yameendelea kushamiri kutoka na utangulizi wa viongozi walioweka misingi imara ya kuzuia ubaguzi wa rangi kwa nchi za Afrika.

''Changamoto zinazoikabili Tanzania katika nyanja mbalimbali zinafanana sana kwa kiasi kikubwa na changamoto ambazo ziko Afrika Kusini. Hii ni kutokana na historia yetu ya kijiografia kwa maana watu wa Afrika Kusini ni wale watanzania wote waliowahi kukutana na changamoto ya ubaguzi wa rangi na kutothaminiwa utu wao dhidi ya wakoloni'', amesema Waziri Mkuu

Katika ziara yake mkoani humo, Rais Ramaphosa atatembelea katika vyumba mbalimbali na kukiona chumba cha kwanza kilichotumika  kufanya mijadala kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini  kupambana, pia ametembelea makaburi  ya mashujaa walioenda kupigania haki ya ubaguzi wa rangi na kupanda mti kama kumbukumbu katika eneo hilo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa