Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chama cha upinzani chafutwa

Ijumaa , 17th Nov , 2017

Mahakama ya Juu nchini Cambodia imekifuta chama kikuu cha upinzani nchini humo CNRP (Cambodia National Rescue Party), na hivyo kumpa nafasi Waziri Mkuu Hun Sen kuendelea kusalia madarakani.

Chama cha CNRP, ambacho kimekua na matumaini ya kumuangusha Waziri Mkuu, madarakani kwa zaidi ya miaka thelathini, wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, kinashutumiwa kula njama za kuipindua serikali, shutma ambazo chama hicho kimezikanusha

Wachambuzi wanaona uamuzi huo wa mahakama ni shinikizo kutoka kwa chama cha tawala dhidi ya upinzani, vyama vya kiraia na vyombo binafsi vya habari ili kunyamazisha upinzani wotewote wakati wa uchaguzi wa mwaka 2018 .

Kiongozi wa chama cha CNRP, Kem Sokha, alikamatwa tarehe 3 Septemba akishtumiwa kujaribu kupindua serikali ya zamani ya Khmer Rouge kwa ushirikiano na Marekani.

Mahakama pia imewapiga marufuku wanasiasa 118 wa upinzani kufanya shughuli za kisiasa kwa kipindi cha miaka mitano.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa