
Gari ikiwekewa mafuta kwenye kituo cha mafuta
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Mhandisi Godfrey Chibulunje, ametangaza mabadiliko hayo leo Aprili 5, 2022.
Kwa upande wa mafuta ya Petroli lita moja itakuwa ikiuzwa 2,861 wakati Dizeli itauzwa 2,692 kwa lita.
Aidha Mhandisi Godfrey Chibulunje amesema mafuta ya taa lita moja itauzwa 2,682.