Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aweso awataka wakandarasi kuacha visingizio

Alhamisi , 4th Aug , 2022

Waziri wa Maji Jumaa Aweso, amewataka wakandarasi wanaojenga bwawa la kuhifadhia maji ya mvua katika Kata ya Masaka mkoani Iringa, kuhakikisha wanakamilisha mradi huo kwa wakati uiliopangwa,  ili kusaidia wananchi kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma ya maji.

Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Waziri Aweso amesema hayo mkoani Iringa katika ziara ya kutembelea bodi ya maji ya bonde la mto Rufiji, ambapo licha ya kuridhishwa na kasi ya ujenzi huo wa bwawa ambalo litahudumia wananchi zaidi ya elfu kumi na saba, Waziri amesema ni vyema wakandarasi kuacha visingizio visivyokuwa na ulazima katika kutekeleza miradi ya maji ambayo ina umuhimu mkubwa kwa wananchi

Aidha Waziri Aweso amesema, Wizara ya Maji haitakuwa kikwazo katika kukwamishwa kwa miradi hiyo ambayo inasaidia kutataua changamoto ya huduma ya maji kwa wananchi.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu