
Kaimu kamanda wa Jeshi la Polisi Mtwara ACP Nicodemus Katembo
Akizungumza na waandishi wa habari, kaimu kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo, ACP Nicodemus Katembo amesema ni mara ya pili kwa mtuhumiwa kutenda kosa la mauaji.
Katika hatua nyingine jeshi la polisi limekamata pikipiki mia 300, na kutoa onyo kwa watenda makosa mbalimbali na kutoa onyo kwa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda kufuata sheria za usalama barabara.