Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichokisema Kikwete kwa wahitimu wa Vyuo Vikuu

Ijumaa , 4th Dec , 2020

Katika kukabiliana na changamoto ya ajira kwa vijana nchini, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimezindua programu ya kuwajengea uwezo wanafunzi wanaohitimu elimu ya juu ili kuweza kukidhi vigezo katika soko la ajira.

Dkt. Jakaya Kikwete Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa programu hiyo kwa kushirikiana na Taasisi ya Gen Empower Mkuu wa Chuo hicho, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amesema kuwa programu hiyo itaongezea vijana ujuzi na maarifa ili kuweza kupata ajira na kujiari wenyewe badala ya kusubiria ajira.

Isiwe fahari kwa wanafunzi kukaa Vyuoni kwa miaka mitatu au zaidi na kuishia kuvaa majoho na kurejea majumbani, programu hii tuna imani itakuwa chanzo cha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo la Ajira nchini", amesema Dkt. Kikwete.

Kwa upande wake Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Profesa William Anangisye amesema kuwa chuo hicho kina mikakati ya kuondoa changamoto zinazowakabili wananchi na moja ya mikakati iliyowekwa ni kuhakikisha kupitia programu hiyo wanaanzisha kituo cha ujasiriamali kinachowajengea maarifa vijana kupata elimu ya ujasiriamali na ajira.

Naye Meneja Programu kutoka Gen Empower Amani Shayo, amesema kuwa wameamua kuwapa wanafunzi taaluma ya uelewa wa kuweza kujiajiri na mpaka sasa tayari wana wanafunzi 270.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa