Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Wastaafu wengine wanawashwa washwa” - Magufuli

Jumatatu , 11th Sep , 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewapongeza wastaafu wa Mahakama kwa kuwa na busara na weledi, huku akionesha kushangazwa na viongozi wengine ambao wanasema sema baada ya kustaafu.

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Akizungumza mapema leo mara baada ya kumuapisha Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof: Ibrahim Juma, Ikulu jijini Dar es salaam, Rais Magufuli amesema wazee hao wengine ambao wamestaafu hawachoki kusema, huku akiwafananisha na watu wanaowashwa na kitu.

“Waheshimiwa Majaji hawa ni waadilifu sana, huwezi ukamsikia jaji Chande anazungumza chochote, huwezi ukamsikia Jaji mstaafu Samatta anazungumza chochote, hawa majaji walioko hapa ukiangalia na wastaafu wengine wa maeneo mengine, hawachoki kusema, wana washwa washwa", amesema Rais Magufuli.

Rais Magufuli ameendelea kwa kusema "ndiyo maana mimi nawapongeza sana mahakama ni safi mno, nina hakika wao wakitaka kutoa ushauri wowote ule lazima watakuwa wanaku-consult na wanakueleza, ndiyo faida ya kujua sheria”, amesema Rais Magufuli.

Rais Magufuli leo amemuapisha Prof. Ibrahim Juma kuwa Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kumteua jana kushika wadhifa huo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke