Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Ummy atoa hamasa kwa wanawake wajasiriamali

Alhamisi , 27th Aug , 2020

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu amewataka wakurugenzi wa Halmashauri kutoa mikopo mikubwa kwa wanawake wajasiriamali ili kuweza kutimiza ndoto zao hasa katika shughuli za uzalishaji Mali.

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu

Amesema kuwa hivi Sasa wanawake wamejitokeza kwa wingi akieleza kuwasilisha wazo kwa Waziri wa Fedha na mipango kuondoa  ama kushusha riba katika Taasisi za Fedha ili kuwainua wajasiriamali katika  Shughuli zao kibiashara.

Waziri Ummy ameyasema hayo leo August 27  katika mkutano uliowakutanisha wanawake wa Jumuiya ya Africa mashariki kwa kushirikiana Wizara ya Afya  na Jukwaa la wafanyabiashara wanawake (TWCC) ambapo amezindua Jukwaa la wanawake milioni 50 wafanyabishara wa kiafrica.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Hicho Jacqueline Maleko ameiomba serikali kuweka Sera ambazo zitasaidia kuwawezesha wanawake kujikwamua kiuchumi ikwemo kuweka  mikopo yenye riba nafuu ili waweze kukuza mitaji yao.

Zaidi ya nchi 38 za Africa Kati ya 54 zimetajwa kuingia katika Umoja huu Ambapo wafanyabiashara wanawake wameaswa kulitumia soko Hilo la mtandao wa wanawake barani Africa uliozinduliwa hii leo.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP