Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabishara zaidi ya 1000 kuondolewa sokoni

Alhamisi , 24th Nov , 2022

Zaidi ya wafanyabiashara 1000 wa matunda aina ya tikiti maji katika soko la Tazara Veternary jijini Dar es Salaam wamepewa muda wa hadi Januari mwakani 2023 kuondoka katika eneo hilo ili kupisha uendelezaji na uwekezaji kwa mmiliki husika wa eneo hilo.

Wafanyabiashara wa tikiti

Wakizungumza na EATV leo Novemba 24, 2022, wafanyabiashara hao wa tikiti wameonyesha kutoridhishwa kuondoka katika eneo hilo kwa kile walichodai kwamba soko hilo limekuwa ni soko kubwa katika nchi za Afrika Mashariki na na hivyo wameiomba serikali kuliangalia suala hilo kwa jicho la huruma

Akizungumzia hatua hiyo Makamu Mwenyekiti wa soko hilo Omari Mbwana, amesema atakayeathirika zaidi ni mfanyabiashara na mkulima kwa kuwa tikiti zinazolimwa nchi nzima zinaletwa katika soko hilo hivyo itawachukua muda kupata soko ambalo litazoeleka kama lilivyokuwa soko la Tazara veternary.

Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa idara ya viwanda, biashara na uwekezaji kutoka Manispaa ya Temeke Ramadhani Gurumukwa, amekiri kuwepo kwa taarifa za kutaka kuondolewa kwa wafanyabiashara hao na kwamba kwa sasa wameshaanza jitihada za  kuwapatia masoko mengine ambayo watatumia wafanyabiashara wa tikiti kufanya biashara zao za tikiti maji.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa