Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara wa tikitimaji waomba soko la nje

Jumatatu , 26th Sep , 2022

Wafanyabiashara katika soko kubwa la tikitimaji la Tazara Vetenari wamesema kuwa matunda hayo kwa sasa yanapatikana kwa wingi lakini changamoto imekuwa ni soko la uhakika na kuiomba mamlaka kuwatafutia soko nje ya nchi.

Soko la tikitimaji Tazara - Vetenari

Hatua hiyo imekuja baada ya EATV kubaini uwepo na mlundikano mkubwa wa tikitimaji sokoni hapo hupu magari yanayopakia mzigo wa matunda hayo kutoka sokoni hapo yakiwa ni kidogo kuliko mzigo uliopo hali inayoashiria kuwa manunuzi ni kidogo.

“Hivi sasa tikiti inapatikana kwa wingi sana, hapa sokoni tunasema ndilo soko kubwa zaidi Afrika Mashariki lakini changamoto ni soko la uhakika, ndani wateja siyo wengi sana, hata sasa tunaona tumepata soko Zanzibar lakini bado halitoshi kama unavyoona yamejaa hapa na hakuna wateja"- Jafari Ngoroge,  M/kiti wauza Tikiti Tazara.

 Aidha, EATV imepata fursa ya kuzungumza na Bi. Fatuma Kisanji ambaye ni mkulima wa tikitimaji kutoka Tabora ambaye amesema kwamba kilio kikubwa kwa wakulima wa tunda hilo ni gharama kubwa za usafiri.

“Wakulima wa mikoani tunapata changamoto ya usafiri, usafiri kutoka mikoani kuleta mzingo sokoni Dar es Salaam imekuwa ghari mno. Mimi kutoa gari moja la tikitimaji kutoka Tabora hadi Dar es Salaam nimelipa Milioni mbili, fikiria hiyo gharama... nitapata faida kweli?" - Alisema mkulima huyo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa