Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara Stendi ya JPM wapunguziwa kodi

Alhamisi , 15th Sep , 2022

Wafanyabiashara katika kituo cha Mabasi cha Dkt. John Pombe Magufuli Jijini Dar es Salaam, wamesema hivi sasa wanaunafuu wa gharama za upangaji katika jengo la kituo hicho kwakuwa gharama ya pango imepungua kutoka Sh. 160,000 hadi kufikia 90,000 kwa baadhi ya wafanyabiashara.

Eneo la biashara Stendi ya Dkt. Magufuli

Hatua hiyo inakuja baada ya kilio cha muda mrefu kutoka kwa wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao katika kituo cha Mabasi cha Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu bei kubwa ya pango katika eneo la kupumzika abiria mabo ndio wateja wakubwa wa wafanyabiashara hao katika kituo hicho.

 Aidha, wafanyabiashara hao wamesema kuwa  hivi sasa wateja au abiria hawapatikani kwa wingi na kwamba abiria wengi hawafiki stendi na hii inaathiri hata wafanyabiashara walioko wengi na kwamba  wauzaji wa bidhaa wamekuwa wengi kuliko wanujuzi.

“Kwakweli tuneteseka sana kulipa kodi hapa, bei ya pango ilikuwa juu na sasa tunaishukuru serikali kwa kupunguza kodi katika kituo hiki. Mfano mwanzo nilikuwa ninalipa 160,000 kwa mwezi lakini sasa hivi ninalipa 90,000 kwa mwezi jambo ambalo linanipa unafuu. Changamoto imeibuka ni upungufu wa wateja, sasa hivi wateja hakuna kabisa tofauti na wiki mbili zolizopita"- Issa Suleiman, Mfanyabiashara JPM Stand.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke