Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utekelezaji wa agizo la RC Makalla Dar es salaam

Jumanne , 21st Jun , 2022

Kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla kutoa maagizo matano kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa ikiwemo kudhibiti baadhi ya wafanyabiashara kutorejea kwenye maeneo yaliyokatazwa EATV imepita katika mitaa kuona uhalisia ulivyo.

EATV imeshughudia wafanyabiashara wakiwa katika maeneo yao ya biashara na mengi yakiwa ni maeneo yanayoruhusiwa kufanya biashara ambapo baadhi ya wafanyabiashata wameeleza hali ilivyo

"Sisi hapa tangu zoezi lianze la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo sisi tulipewa namba maalum sasa hii ni rai kwa wengine sio watoke huko waje tuu kupanga bila kuwa na utaratibu watabebewa biashara zao" alisema Japhet Mafuru Mfanyabiashara Machinga Complex

EATV imefika kwenye ofisi ya mweyekiti wa Mtaa wa Kigogo kati kujua hali ikoje katika mtaa huo kuhusu mpangilio wa Wafanya biashara.

"Mimi kwenye mtaa wangu wafanyabiashara wote tuliowapanga bado hawajarudi kwenye maeneo yaliyokatazwa nitoe wito kwa viongozi wenzangu kusimamia maagizo" alisema Rashid Luoga Mwenyeti wa Mtaa wa Kigogo kati.

Hata ivyo waswahili wanasema sheria ni msumeno ambapo watalaamu wa sheria wanasema kutumia eneo kwa kujinufaisha ambalo si lako kihalali ni makosa Kwa mujibu wa sheria hivyo kuwataka wafanya biashara wanaolazimisha kurejea kwenye maeneo yaliyokatazwa kuacha mara moja.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu