Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFDA yatua kwa wauza Vipodozi

Jumamosi , 8th Sep , 2018

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), imesisitiza kuwa wafanya biashara wa Vipodozi nchini wasiofuaat sheria kwa kuuza vipodozi vilivyopigwa marufuku wataendelea kupoteza mitaji yao kwa kufirisiwa.

TFDA kwenye mkutanon wao leo na wauza vipodozi.

Akionge leo kwenye mkutano wa pamoja kati ya TFDA na wauza vipodozi wa Kariakoo jijini Dar es salaam, Meneja wa Usajili wa Vifaa Tiba, Vipodozi na Bidhaa Dawa, Bi Grace Shimwela amesema kwa mujibu wa Sheria, hairuhusiwi kuingiza vipodozi au bidhaa zinazodhibitiwa bila ya kusajiliwa na TFDA. 

''Kabla ya kuingiza bidhaa toka nje ya nchi,, hakikisha una kibali cha TFDA ili kuepusha kuingiza bidhaa ambazo si salama na bora ambazo zitaharibiwa au kurudishwa zilikotoka kwa gharama yako hivyo kupoteza mtaji'', amesema.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa za Dawa wa TFDA, Bw. Adonis Bitegeko, amewakumbusha wafanyabiashara wa vipodozi kuwa TFDA kama Taasisi ya Umma, ni rafiki kwa wafanyabiashara wote wakiwemo wa vipodozi hivyo wasisite kupata ushauri kabla ya kuanza biashara ili kuepusha hasara pindi inapobanika bidhaa zao hazina ubora.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara hao, Bw. Martin Mbwana amesema wamechoka kukamatwa mara kwa mara na vipodozi vyenye sumu hivyo wanahitaji elimu ya namna ya kufanya biashara hiy kwa kuzingatia matakwa ya sheria.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu