Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Soko la pamoja Afrika kunufaisha wafanyabiashara

Jumatano , 15th Feb , 2023

Serikali kupitia Naibu Katibu Mkuu Uwekezaji, viwanda na Biashara, Ally Gugu, imewataka wadau kuhakikisha wanamsaidia Rais Samia katika ajenda ya soko la pamoja Afrika ambalo limelenga zaidi wanawake na vijana.

Naibu Katibu Mkuu Uwekezaji, viwanda na Biashara, Ally Gugu

Hayo yanabainishwa wakati Tanzania ikiwa tayari imeanza mchakato wa kufanya biashara katika soko la pamoja  Afrika chini ya mpango wa biashara huria katika eneo huru la biashara Afrika 

Kwa upande wao wawakilishi wa wafanyabiashara kutoka jumuiya ya wafanyabiashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na sekta binafsi wameomba mpango huo kuwanufaisha zaidi wafanyabiashara kwani sekta binafsi kwani  ndio inamchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi Afrika.

Kwa upande wa mwakilishi wa mwenyekiti wa Baraza la Biashara  Afrika Mashariki, Raphael Maganga ambaye ni Balozi wa EABC anasema Tanzania ina uwezo mkubwa wa kuuza nje bidhaa ndani ya  nchi bara la Afrika.

"Mauzo ya Tanzania barani Afrika yalifikia dola bilioni 2.5 mwaka 2021 ikiongezeka kwa asilimia 13 kutoka mwaka 2020 huku uagizaji wa bidhaa kutoka nje ukifikia dola bilioni 1.2" amesema Maganga 

Naye mshauri wa sera ya uchumi kuhusu soko huru la biashara Afrika ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Lamech Wesonga, ameitaka sekta binafsi kuchukua jukumu la kufanya biashara chini ya AfCFTA ili kufungua fursa takribani bilioni 1.3 zilizopo katika soko hilo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa