Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Naibu Spika Zungu azipongeza taasisi za fedha

Jumatatu , 25th Apr , 2022

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania  Mussa Azan Zungu amezipongeza taasisi za kifedha nchini kwa kuunga mkono harakati za serikali katika kuwajengea wananchi uwezo wa kiuchumi, ikiwa ni pamoja na kutoa mikopo kwa wajasiriamali wanaoanzisha miradi mbalimbali ili kujiletea maendeleo

Kauli ameitoa wakati akizungumza kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa na BancABC jijini Dar es Salaam kwa ajili ya wateja wake wakati huu ambao waumini wa dini ya kiislam wanatekeleza moja ya nguzo muhimu kwa kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani.

“Hatua ya kuwawezesha wajasiriamali ni kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye wakati wote amehakikisha vikwazo vya kibiashara kwa kundi hilo vinaondoka ikiwa ni pamoja na kuwawekea mazingira bora ya kufanya biashara zao,hivyo ni kwenu sasa kama wawekezaji kutumia nafasi hiyo kufanya biashara Tanzania”alisema Mussa Zungu - Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

 Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Imani John alieleza kuwa ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake hapa nchini unatokana na namna serikali ya Tanzania ilivyoweka mfumo imara kwa taasisi za fedha kutekeleza majukumu yao, hatua ambayo imeongeza kasi ya jamii kutumia huduma za kibenki.

 “kiukweli nime mkweli uwekezaji na kasi tulyo nayo kama benkABC inatokana na sera za nchi na utayari wa taifa kuwek misingi kwa wawekezaji hususani katika sekt6a bionafsi kwenye taasisi za kifedha.”alisema Imani sambamba na Jasmini Tuly mmoja ya wateja wa bankABC kwa kipindi kirefu.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa